Mahitaji:
- Kuwa mfanyikazi wa JKUAT, pamoja na aila zao, au
- mwanafunzi aliyesajiliwa chuoni ama baada ya kulipa ada zinazohitajika kulingana na huduma.
Malipo:
- Shilingi 100 ya kushauriwa kwa kila mgonjwa kila mara (mfanyikazi na aila zake);
- kulingana na ada zilizokubaliwa (wanafunzi).
- Shilingi 400 na malipo mengine kwa (wagonjwa wengine).
Wakati Maalum:
Kati ya dakika 30 za kufika hospitalini.